Sbs Swahili - Sbs Swahili
- Autor: Vários
- Narrador: Vários
- Editora: Podcast
- Duração: 116:23:09
- Mais informações
Informações:
Sinopse
Listen to interviews, features and community stories from the SBS Radio Swahili program, including news from Australia and around the world. - Sikiza mahojiano, makala na hadithi za jumuiya kutoka Idhaa ya Kiswahili ya SBS Radio, ikijumuisha taarifa za habari kutoka Australia na ulimwenguni.
Episódios
-
Je! ushawahi kosa kazi "kwasababu ya kiwango chako cha Kiingereza" Australia?
07/06/2022 Duração: 18minIdadi ya watu wenye asili ya Afrika Mashariki na Kati, inaendelea kuongezeka kila mwaka jimboni Queensland.
-
Taarifa ya Habari 7 Juni 2022
07/06/2022 Duração: 15minMweka hazina wa taifa afariji familia zawa Australia zinazo kabiliana, na madhara yakiuchumi ya ongezeko ya kiwango cha riba, hali ambayo imefikisha kiwango cha hela taslim kuwa 0.85
-
Wafanyakazi wa umma kuongezewa mshahara NSW
07/06/2022 Duração: 05minWafanyakazi wa sekta ya umma jimboni New South Wales, wanatarajia nyongeza ya asilimia tatu kwa mishahara yao.
-
Jean: "Wahutu walio okoa maisha ya watutsi nimashujaa"
06/06/2022 Duração: 07minJamii yawanyarwanda wanao ishi Sydney, Australia walijumuika kwa ibada maalum kuwambuka walio uawa katika mauaji yakimbari dhidi yawatutsi nchini Rwanda.
-
Jane: "Kama mtu alisamehe aliye uwa familia yake, sisi tunasababu gani yakuwa na tafauti"?
05/06/2022 Duração: 05minChuo cha katoliki mjini Sydney kwa mara nyingine, kilikuwa mwenyeji wa ibada yakuwakumbuka walio uawa katika mauaji ya kimbari ya 1994.
-
Taarifa ya Habari 5 Juni 2022
05/06/2022 Duração: 19minWaziri Mkuu Albanese, atua pamoja na wajumbe kwa mazungumzo na Rais wa Indonesia.
-
Rshino Legrand afunguka kuhusu mapokezi ya mziki wa Rhumba Queensland
02/06/2022 Duração: 04minMziki wa Rhumba umekita mizizi nchini DR Congo 7kwa miaka mingi, na ni moja ya utambulisho wa taifa hilo la kanda ya Afrika ya Kati.
-
Rajabu"Nia yangu nikuwasaidia watu ambao Kiingereza siyo lugha ya mama"
01/06/2022 Duração: 13minKujua namna yakutoa huduma ya kwanza, kunaweza kuwa tofauti ya mtu kufa au kupona.
-
SBS Swahili Mubashara 31 Mei 2022
01/06/2022 Duração: 53minUnaweza sikiza makala ya Idhaa ya Kiswahili ya SBS, yanayo peperushwa kati ya saa nne na saa tano kila usiku wa Jumapili bila matangazo au miziki.
-
Future Destin afunguka kuhusu sababu yakuandika Prize Fighter
01/06/2022 Duração: 10minWasanii kote duniani hutumia vipaji vyao, kutoa ushawishi pamoja nakumulika maswala mbali mbali mhimu katika jamii.
-
Kundi la M23 lasababisha mvutano kati ya Rwanda na DR Congo
01/06/2022 Duração: 05minMitaa ya Kinshasa imeshuhudia maandamano baada ya tuhuma kuibuka za Rwanda kuunga mkono waasi wa M23.
-
Jinsi yakuzingatia itifaki zakitamaduni zawa Australia wa kwanza
31/05/2022 Duração: 09minKuzingatia itifaki zakitamaduni zawa Aboriginal na wanavisiswa wa Torres Strait, ni hatua mhimu yakuelewa nakuheshimu wamiliki wa jadi wa ardhi tunamo ishi.
-
Taarifa ya Habari 31 Mei 2022
31/05/2022 Duração: 16minHatimae wiki moja baada ya hesabu zakura kukamilishwa, ni rasmi chama cha Labor kitaongoza serikali ya wengi.
-
Lazaro "watu wanaogopa kuenda jipimisha magonjwa"
30/05/2022 Duração: 05minBaadhi ya watu wanao wasili Australia kama wakimbizi, huja wakiwa na magonjwa sugu na wakati mwingine hawajui wana magonjwa hayo.
-
Taarifa ya Habari 29 Mei 2022
29/05/2022 Duração: 18minWaziri Mkuu Anthony Albanese asalia na masaa 24 kujua kama ataongoza serikali ya wengi, tume ya uchaguzi ya Australia ikiwa inaelekea kukamilisha hesabu za kura za maeneo bunge tatu ya mwisho.
-
Leornard "Ingekuwa kwetu, watu wangekuwa wame weka passports karibu"
25/05/2022 Duração: 13minRaia wa Australia wenye asili ya kanda ya Afrika ya Kati, walishiriki katika zoezi lakuchagua viongozi wakitaifa katika uchaguzi mkuu siku chache zilizo pita.
-
Haki za watoto Australia
24/05/2022 Duração: 10minMkataba wa Umoja wa Mataifa kwa haki za mtoto, ni makubaliano yakimataifa kwa haki za binadam yanayo julikana pia kama mkataba wa haki za binadam, unao elezea haki maalum ambazo watoto na vijana wanaweza dai.
-
Taarifa ya Habari 24 Mei 2022
24/05/2022 Duração: 16minWaziri Mkuu Anthony Albanese, ameshiriki katika mkutano wake wa kwanza wa QUAD mjin Tokyo, ambako ameelezea vipaumbele vyakimataifa vya serikali yake mpya.
-
Je! vijana wa A-League All Stars wataweza dhibiti makali ya FC Barcelona?
24/05/2022 Duração: 10minSiku moja inasalia kwa vijana wa A-League All Stars, kukabiliana na wakali wa ligi kuu ya Uhispania FC Barcelona mjini Sydney, Australia.
-
John Kamau "Tuna tarajia serikali mpya iboreshe mfumo mzima wa afya"
24/05/2022 Duração: 11minJamii zawatu wenye asili ya Afrika Mashariki wanao ishi Kusini Australia, walishiriki katika zoezi lakuchagua viongozi wakitaifa katika uchaguzi mkuu siku chache zilizo pita.