Mazingira Leo, Dunia Yako Kesho

Matumizi ya mitego ya wadudu inayotumia sola yaboresha parachichi na mazingira

Informações:

Sinopse

Wakulima wa Meru kaskazini mashariki mwa Kenya wanakumbatia matumizi ya mitego ya wadudu inayotumia nishati ya jua ili kukabiliana na false codling moth (FCM), mdudu anayeharibu mazao ya parachichi. Eneo la kaskazi mashariki huzalisha kiwango kikubwa cha parachichi zinazouzwa ulaya na Asia Kupitia teknolojia hii, wakulima  sasa wameanza kupata nafasi katika masoko ya nje....vile vile wamepunguza utegemezi wao kwa viuatilifu vya kemikali,hivyo  kuongeza kipato cha wakulima.