Mazingira Leo, Dunia Yako Kesho
Kituo cha jambo Redio nchini DRC chapokea tuzo kwenye COP30
- Autor: Vários
- Narrador: Vários
- Editora: Podcast
- Duração: 0:10:00
- Mais informações
Informações:
Sinopse
Nchini jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, Kituo cha Jambo redio, kimejitwika jukumu la kuelimisha jamii kuhusu masuala ya mazingira na tabianchi, lakini muhimu sana ni haki zao. Katika mkutano wa tabianchi uliotamatika jijini Belem nchini Brazil, kituo cha Jambo Redio kilipokea tuzo kutoka kwa shirikika linalotetea haki za wanawake Women Engage for a Common Future, WECF. Kituo hiki, kimekuwa kikitoa habari kwa jamii ambazo wakati mwingine hazina uwezo wa kupata habari.