Habari Rfi-ki
Kufungwa kwa makanisa nchini Rwanda ni kwa lengo la uwajibikaji
- Autor: Vários
- Narrador: Vários
- Editora: Podcast
- Duração: 0:09:51
- Mais informações
Informações:
Sinopse
Rais wa Rwanda Paul Kagame amekanusha madai kuwa serikali yake imekuwa ikiminya uhuru wa kuabudu, akisisitiza kwamba hatua ya serikali kufuatilia taasisi za kidini ni kwa lengo la kuhakikisha uwajibikaji, na kuwalinda raia dhidi ya ulaghai,