Habari Rfi-ki
Nchi za Afrika Mashariki kuongeza kodi ili kupata mapato zaidi ya serikali
- Autor: Vários
- Narrador: Vários
- Editora: Podcast
- Duração: 0:09:53
- Mais informações
Informações:
Sinopse
Hivi karibuni tumeshuhudia baadhi ya nchi za Afrika Mashariki kama vile Kenya, Uganda na Tanzania zikipendekeza mabadiliko ya sheria ili kuongeza kodi, kwa lengo la serikali kuongeza mapato