Habari Rfi-ki

Nchi za Afrika Mashariki kuongeza kodi ili kupata mapato zaidi ya serikali

Informações:

Sinopse

Hivi karibuni tumeshuhudia baadhi ya nchi za Afrika Mashariki kama vile Kenya, Uganda na Tanzania zikipendekeza mabadiliko ya sheria ili kuongeza kodi, kwa lengo la serikali kuongeza mapato